Redio Deutsche Welle yaripoti

Ziara ya Wanafunzi wa sayansi kimu toka Mwanza katika redio Deutsche Welle

Asumpta Ngonyani akutana na wanafunzi wa Kitanzania wanaotembelea Ujerumani, kuzungumzia umuhimu wa ziara za masomo na mpango wa kubadilishana wanafunzi katika kuwajenga kitaaluma.

Kusoma kuna njia nyingi na moja ya njia hizo ni kutembea na kujifunza mambo kwa njia ya mbadilishano. Ndivyo ziara ya kimasomo ya wanafunzi wa vyuo vya mafunzo ya ujasiriamali vya Tanzania (VETA) inavyothibitisha.
Mtayarishaji/Msimulizi: Asumpta Ngonyani-Lattus
Mhariri: Othman Miraji
Usikilize redio DW hapa

Deutsche Welle Kiswahili sent an interview on the stay of VETA students in Germany (9 minutes).